Habari
-
28.06.2021Naibu Waziri Paweł Jabłoński atembelea Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMaendeleo yenye tija baina ya nchi zote mbili na matarajio ya kuimarishwa, katika nyanja zote mbili za kisiasa na kiuchumi, zilikuwa ni mada za ziara ya Naibu Waziri Paweł Jabłoński katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnano Juni 22 -24, 2021
-
14.06.2021Balozi Buzalski katika uzinduzi katika kituo cha afya cha MaganzoTarehe 11 Juni, 2021 Balozi Krzysztof Buzalski alishiriki katika uzinduzi wa mrengo mpya wa kituo cha afya kinachoendeshwa na Shirika la Masista wa Kipolishi Elizabethan Maganzo mkoani Geita. Shukrani kwa mradi uliotekelezwa na Masista kwa ushirikiano na shirika la Redemptoris Missio, unaofadhiliwa na msaada wa Poland, iliwezekana kujenga na kuandaa kituo cha X-ray na ultrasound pamoja na ofisi za madaktari bingwa. Mradi huo ulitekekezwa kama sehemu ya kampeni ya Polonia kwa majirani na usaidizi wa Kipolandi kwa mskini zaidi walioathiriwa na janga la virusi vya korona.
-
05.05.2021Tuliadhimisha kumbukumbu ya miaka 230 ya katiba ya Mei 3 na siku ya wageni wa PolandiWakati wa tafrija iliyoandaliwa katika bustani za ubalozi wa Poland jijini Dar es salaam, Balozi Krzysztof Buzalski alikumbuka historia ya Katiba ya Mei 3 na kusoma barua kutoka kwa Waziri Zbigniew Rau na kuwatakia Poles.
-
03.05.2021Katiba ya Mei 3, 1791Katiba ya Mei 3, 1791 (Sheria ya Serikali) ilipitishwa na Bunge la Poland (Sejm) Mei 3, 1791 ambalo lilikuwa katika kikao tangu 1788, ambayo katika historia ya Poland inajulikana kama Bunge la Miaka Minne au Bunge Kuu.
-
20.11.2020Balozi Krzysztof Buzalski amepata cheti rasmi cha KiswahiliMnamo tarehe Oktoba 20, 2020 Mheshimiwa balozi alifika Baraza la Kiswahi la Taifa la Tanzania (BAKITA) kwa ajili ya kufanya mtihani wake. Baada ya mtihani aliweza kupata ufaulu wa juu yaani daraja la kwanza.
-
23.10.2020Filamu "About Polska"Tunakualika kutazama filamu fupi kuhusu Poland.
-
25.09.2020Onesho la filamu ya "The coldest Game" ufunguzi wa maonyesho ya "John Paul wa pili - Papa wa mdahalo"Mnamo Septemba 25, 2020 Ubalozi wa Jamuhuri ya Poland Dar es Salaam iliandaa onyesho la filamu ya "The coldest Game" kwenye ukumbi Alliance Francaise na ufunguzi wa maonyesho ya "John Paul wa pili - Papa wa Mdahalo".