Habari
-
03.12.2025Mfuko wa Polish Aid kusaidia kilimo chenye ufanisi zaidi katika Mkoa wa Kilimanjaro.Mwaka huu, Polish Aid ilisaidia mradi unaolenga kuzindua mfumo wa kisasa wa umwagiliaji kwa mashamba ya mahindi ya Kituo cha Mafunzo ya Kilimo na Mifugo cha Kilacha (KALTC).
-
01.12.2025Jumuiya ya Wapoland nchini Tanzania iliadhimisha miaka 107 ya Uhuru wa PolandTarehe 28 Novemba, Ubalozi uliandaa tafrija maalum ya kuadhimisha miaka 107 ya Poland kupata uhuru na kuwakusanyisha wanajumuiya ya kipoland nchini Tanzania, pamoja na wahitimu wa kitanzania wa vyuo vikuu vya Polandi.
-
24.11.2025 Dar es SalaamOnyesho la Filamu ya 'Miungu' wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya upandikizaji wa moyo wa kwanza kufanikiwa Polandi.Tarehe 17 Novemba 2025 tuliandaa onyesho la filamu ya Kipoland "Gods," ('Miungu') tukiadhimisha kumbukumbu ya miaka 40 ya mafanikio makubwa ya Prof. Zbigniew Religa - upandikizaji wa moyo wa kwanza kufanikiwa nchini Polandi.
-
24.11.2025Polish Aid inasaidia ujasiriamali na elimu ya mazingira katika Bonde la KilomberoTulitembelea bonde la Kilombero, Tanzania, kufuatilia mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano na Mradi wa Tembo Kusini mwa Tanzania (STEP), wenye lengo la kuimarisha ujasiriamali na kukuza elimu ya mazingira mkoani humo.
-
07.11.2025Ubalozi wa Jamhuri ya Poland mjini Dar es Salaam utakuwa umefungwa tarehe 10 na 11 Novemba 2025Ubalozi wa Jamhuri ya Poland jijini Dar es Salaam, pamoja na Kitengo cha Viza, zitakuwa zimefungwa tarehe 10 na 11 Novemba 2025 kutokana na sikukuu za kitaifa.
-
29.10.2025Ubalozi wa Jamhuri ya Poland jijini Dar es Salaam umefungwa tarehe 29 Oktoba 2025.Ubalozi wa Jamhuri ya Poland jijini Dar es Salaam, pamoja na Kitengo cha Viza, zitakuwa zimefungwa tarehe 29 Oktoba 2025 kutokana na uchaguzi mkuu.
-
19.10.2025 KiabakariPolish Aid kwa Huduma Bora za Afya na Ulinzi wa Haki za Wanawake Nchini TanzaniaWikiendi iliyopita, Mkuu wa Kituo Ubalozi wa Poland, Bw. Sergiusz Wolski, alitembelea Kiabakari, ambako miradi kadhaa chini ya Polish Aid imekamilika hivi karibuni. Miradi hii inalenga kuboresha huduma za afya na kulinda haki za wanawake katika kaskazini mwa Tanzania.
-
14.10.2025Ubalozi wa Jamhuri ya Poland jijini Dar es Salaam umefungwa tarehe 14 Oktoba 2025.Tunakutaarifu kuwa Ubalozi wa Jamhuri ya Poland ulioko Dar es Salaam, ikijumuisha Sehemu ya Ubalozi, utafungwa tarehe 14 Oktoba, 2025 kwa kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Tanzania - Siku ya Nyerere.
-
25.09.2025Utangulizi wa Mfumo wa Kuingia/Kutoka EU kwa Wasafiri Wasio kutoka EUMfumo wa Kuingia/Kutoka (EES) ni mfumo mpya wa usimamizi wa mpaka wa Ulaya wa kusajili raia wasio wa Umoja wa Ulaya wanaosafiri kwa muda mfupi, kila wakati wanapovuka mipaka ya nje ya nchi 29 za Ulaya.
-
23.09.2025Balozi Anakutana na Africa Help na Wataalamu wa AfyaChargé d'affaires a.i. Sergiusz Wolski alikutana na wawakilishi wa Africa Help Foundation na wataalamu wa afya kutoka Poland kujadili ushirikiano katika Nyumba ya Uzazi huko Ndotoi, ukizingatia uchunguzi wa maabara, huduma kwa mama na mtoto, na elimu juu ya magonjwa ya kitropiki.