Habari
-
22.09.2025Ubalozi wa Poland kushiriki katika Siku ya Usafi DunianiTarehe 20 Septemba 2025, timu ya Ubalozi wa Poland ilishiriki katika kampeni ya kimataifa ya 'World Cleanup Day' kwa kujitolea kusafisha Coco Beach.
-
19.09.2025Ziara ya Mkuu wa Kituo Ubalozi Sergiusz Wolski Arusha na TengeruKatika ziara yake ya kikazi kaskazini mwa Tanzania, Mkuu wa Kituo Ubalozi wa Jamhuri ya Poland mjini Dar es Salaam, Sergiusz Wolski, alifanya mfululizo wa mikutano muhimu mjini Arusha na Tengeru.
-
10.09.2025 Dar es SalaamUbalozi wa Poland ulishiriki Med Expo Africa 2025Tarehe 10 Septemba 2025, Chargée d'affaires a.i. Ubalozi wa Jamhuri ya Poland, Sergiusz Wolski, alishiriki katika ufunguzi rasmi wa Med Expo Africa 2025 jijini Dar es Salaam.
-
01.09.2025 KilmahewaKompyuta mpakato mpya za Shule ya Awali na Msingi ya St. Gertrude iliyopo KilimahewaUbalozi wa Jamhuri ya Poland jijini Dar es Salaam unasaidia maendeleo ya elimu ya kidijitali nchini Tanzania kupitia miradi inayofadhiliwa na Polish Aid.
-
28.08.2025 Warsaw, GdanskZiara ya masomo ya washindi wa Shindano la Mijadala la Vijana la EU nchini PolandWashindi wa Shindano la Mjadala wa Vijana la Umoja wa Ulaya walishiriki katika ziara ya kimasomo nchini Poland, ambapo walitembelea Warsaw na Gdańsk, wakichunguza taasisi za serikali, pamoja na historia na utamaduni wa nchi yetu.
-
21.08.2025Siku za Utamaduni za Poland nchini TanzaniaKundi la nyimbo na ngoma za kitaaluma, Jedliniok, kutoka Wrocław lilitumbuiza Dar es Salaam kwa mwaliko wa Ubalozi wa Jamhuri ya Poland, kuwasilisha utamaduni na muziki wa Poland.
-
13.05.2025Maadhimisho ya miaka 234 tangu kupitishwa kwa Katiba ya Poland tarehe 3 Mei nchini Tanzania.Wakati wa tafrija iliyoandaliwa katika bustani za Ubalozi wa Poland jijini Dar es Salaam, mkuu wa ubalozi huo, Sergiusz Wolski, alikumbuka historia ya kupitishwa kwa Katiba ya Poland ya tarehe 3 Mei na kusisitiza uhusiano wa kirafiki kati ya Poland na Tanzania.
-
13.05.2025Wasanii kutoka Poland walio na tamasha la muziki wa klasiki nchini TanzaniaMnamo Mei 9, hadhira jijini Dar es Salaam ilishiriki katika tamasha la zumari na kodiani lililoandaliwa na Ubalozi wa Poland kwa hafla mbili: ya Urais wa Poland katika Baraza la EU, pamoja na Siku ya Ulaya.
-
27.02.2025Onesho la Makala ya Kihistoria ‘In the Rearview’ katika Ubalozi wa Jamhuri ya Poland, Dar es SalaamKwa kuadhimisha mwaka wa tatu tangu uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, Ubalozi wa Jamhuri ya Poland huko Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Ubalozi mpya wa Ukraine nchini Tanzania, uliandaa onyesho la makalaya kihistoria ‘In the Rearview’, iliyoongozwa na Maciek Hamela. Tukio hili liliwalenga hasa wanadiplomasia na jamii ya wenyeji wenye shauku ya kufuatilia hali ya sasa nchini Ukraine.
-
10.02.2025Kuonyesha hati ya Ambassador of Remembrance kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam chuo cha ElimuKatika kuadhimisha miaka 80 ya ukombozi wa Auschwitz na Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Miaka 20 ya Maangamizi ya Wayahudi, Ubalozi wa Jamhuri ya Poland jijini Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, uliandaa onyesho la filamu ya Ambassador of remembrance, iliyoongozwa na Magdalena Żelasko.